1889
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 18 | Karne ya 19 | Karne ya 20 | ►
◄ | Miaka ya 1850 | Miaka ya 1860 | Miaka ya 1870 | Miaka ya 1880 | Miaka ya 1890 | Miaka ya 1900 | Miaka ya 1910 | ►
◄◄ | ◄ | 1885 | 1886 | 1887 | 1888 | 1889 | 1890 | 1891 | 1892 | 1893 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 1889 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
[hariri | hariri chanzo]- 6 Oktoba - Kilele cha Kilimanjaro kimefikiwa mara ya kwanza.
- 15 Novemba Brazil inatangazwa kuwa jamhuri; utawala wa kifalme wa Kaisari unakwisha
Waliozaliwa
[hariri | hariri chanzo]Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 29 Machi - Howard Lindsay, mwandishi kutoka Marekani
- 6 Aprili - Gabriela Mistral (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1945)
- 16 Aprili - Charlie Chaplin, mwigizaji filamu kutoka Uingereza
- 16 Aprili - Ludwig Wittgenstein, mwanafalsafa kutoka Austria
- 20 Aprili - Adolf Hitler, dikteta wa Ujerumani miaka ya 1933-45
- 21 Aprili - Paul Karrer, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1937
- 5 Agosti - Conrad Aiken, mwandishi kutoka Marekani
- 1 Novemba - Philip Noel-Baker, mwanasiasa wa Uingereza na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1959
- 30 Novemba - Edgar Adrian (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1932)
Waliofariki
[hariri | hariri chanzo]- 10 Machi - Yohannes IV, Mfalme Mkuu wa Uhabeshi
- 16 Desemba - Abushiri ibn Salim al-Harthi, Mtanzania aliyeongoza upinzani dhidi ya ukoloni wa Ujerumani
- 15 Aprili - Mtakatifu Damiano wa Molokai, padri, mtawa na mmisionari kutoka Ubelgiji