1900
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 18 | Karne ya 19 | Karne ya 20 | ►
◄ | Miaka ya 1870 | Miaka ya 1880 | Miaka ya 1890 | Miaka ya 1900 | Miaka ya 1910 | Miaka ya 1920 | Miaka ya 1930 | ►
◄◄ | ◄ | 1896 | 1897 | 1898 | 1899 | 1900 | 1901 | 1902 | 1903 | 1904 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 1900 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 16 Februari - Albert Hackett, mwandishi kutoka Marekani
- 13 Machi - Giorgos Seferis (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1963)
- 25 Aprili - Wolfgang Pauli (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1945)
- 17 Mei - Ayatollah Ruhollah Khomeini aliyekuwa kiongozi wa mapinduzi ya Uajemi ya 1979
- 5 Juni - Dennis Gabor (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1971)
- 29 Juni - Antoine de Saint-Exupery mwandishi Mfaransa
- 29 Julai - Eyvind Johnson (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1974)
- 25 Agosti - Hans Krebs (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1953)
- 30 Oktoba - Ragnar Granit, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1967
- 8 Novemba - Margaret Mitchell, mwandishi kutoka Marekani
- 3 Desemba - Richard Kuhn (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1938)
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 6 Machi - Gottlieb Daimler, mhandisi kutoka Ujerumani
- 7 Julai - Mtakatifu Antonino Fantosati, O.F.M., askofu Mkatoliki na mfiadini nchini Uchina
- 7 Julai - Mtakatifu Yosefu Maria Gambaro, O,F.M., padre na mmisionari mfiadini nchini Uchina
- 9 Julai - Mtakatifu Fransisko Fogolla, O.F.M., askofu Mkatoliki na mfiadini nchini Uchina
- 9 Julai - Mtakatifu Amadina, bikira Mfransisko kutoka Ubelgiji na mfiadini nchini Uchina