1883
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 18 | Karne ya 19 | Karne ya 20 | ►
◄ | Miaka ya 1850 | Miaka ya 1860 | Miaka ya 1870 | Miaka ya 1880 | Miaka ya 1890 | Miaka ya 1900 | Miaka ya 1910 | ►
◄◄ | ◄ | 1879 | 1880 | 1881 | 1882 | 1883 | 1884 | 1885 | 1886 | 1887 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 1883 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 19 Machi - Norman Haworth (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1937)
- 24 Juni - Victor Hess (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1936)
- 3 Julai - Franz Kafka, mwandishi wa Kijerumani kutoka milki ya Austria-Hungaria
- 17 Septemba - William Carlos Williams (mwandishi Mmarekani, na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1963)
- 8 Oktoba - Otto Warburg (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1931)
- 2 Novemba - Martin Flavin, mwandishi kutoka Marekani
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 13 Februari - Richard Wagner, mtunzi wa muziki kutoka Ujerumani
- 30 Aprili - Édouard Manet, mchoraji kutoka Ufaransa
- 20 Juni - John William Colenso, askofu wa Kanisa Anglikana nchini Afrika Kusini kutoka Uingereza