1881
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 18 | Karne ya 19 | Karne ya 20 | ►
◄ | Miaka ya 1850 | Miaka ya 1860 | Miaka ya 1870 | Miaka ya 1880 | Miaka ya 1890 | Miaka ya 1900 | Miaka ya 1910 | ►
◄◄ | ◄ | 1877 | 1878 | 1879 | 1880 | 1881 | 1882 | 1883 | 1884 | 1885 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 1881 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
[hariri | hariri chanzo]- 29 Juni - Mohammed Ahmad ibn Abd Allah ajitangaza kuwa mahdi nchini Sudan na kuanzisha vita ya jihadi dhidi ya Misri na Uingereza.
Waliozaliwa
[hariri | hariri chanzo]Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 31 Januari - Irving Langmuir (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1932)
- 12 Februari - Hatcher Hughes, mwandishi kutoka Marekani
- 4 Machi - Thomas Sigismund Stribling, mwandishi kutoka Marekani
- 17 Machi - Walter Hess, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1949
- 23 Machi - Roger Martin du Gard (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1937)
- 23 Machi - Hermann Staudinger (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1953)
- 25 Machi - Bela Bartok (mtungaji wa muziki Mhungaria)
- 27 Julai - Hans Fischer (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1930)
- 6 Agosti - Alexander Fleming (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1945)
- 22 Oktoba - Clinton Davisson (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1937)
- 25 Oktoba - Pablo Picasso, mchoraji kutoka Hispania
- 24 Desemba - Juan Ramon Jimenez (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1956)
bila tarehe
Waliofariki
[hariri | hariri chanzo]- 9 Februari - Fyodor Dostoyevski, mwandishi Mrusi
- 28 Machi - Modest Mussorgsky, mtunzi wa muziki kutoka Urusi
- 19 Septemba - James A. Garfield, Rais wa Marekani (1881)
- 10 Oktoba - Mtakatifu Daniele Comboni, mmisionari na askofu Mkatoliki nchini Sudan
- 26 Novemba - Johann Ludwig Krapf (mmisionari wa CMS, Afrika ya Mashariki)